logo
swahili
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 23 Mei
Tanzania yamuachilia mwanaharakati wa Uganda Agather Atuhaire saa chache baada ya kumuachilia mwanahrakati wa Kenya Boniface Mwangi, Bunge la Seneti la DRC lamuondelea kinga aliyekuwa rais wa nchi Joseph Kabila kwa madai ya kuunga mkono kundi la M23.

Vichwa vya habari:

  • Tanzania yamuachilia mwanaharakati wa Uganda Agather Atuhaire

  • Bunge la Seneti la DRC lamuondelea kinga aliyekuwa rais wa nchi hiyo Joseph Kabila kwa madai ya kuunga mkono kundi la M23

  • Marekani kuiwekea Sudan vikwazo kwa madai ya matumizi ya silaha za kemikali

  • Trump yakizuia Chuo Kikuu cha Havard kusajili wanafunzi wa kimataifa

  • Mkuu wa WHO aiomba Israeli kuonesha huruma

Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us