logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika | 16 Mei
03:10
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 16 Mei
Baadhi ya vijana nchini Uganda wamezindua kampeni maalum kumuaga Rais Museveni, na mazungumzo ya kusitisha vita kati ya Ukraine na Urusi yaendelea Uturuki.

Vichwa vya habari:

  • Baadhi ya vijana nchini Uganda wamezindua kamapeni maalum kumuaga Rais Museveni

  • Mazungumzo ya kusitisha vita kati ya Ukraine na Urusi yaendelea Uturuki

  • Wapalestina wasiopungua 136 wameuawa Gaza katika mashambulizi ya anga ya Israel siku ya Alhamisi

  • Marekani inasema Syria yenye amani na utulivu inaweza kubadilisha eneo hilo

  • Timu ya Barcelona watwaa ubingwa wa 28 wa La Liga

Sikiliza zaidi
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us